Wakaazi Wa Eneo La Nyalenda Kaunti Ya Kisumu Wafaidika

EbruTVKENYA 2021-10-31

Views 42

Matumizi Ya Mtandao Kila Siku Ndio Imesalia Hali Halisi Ya Maisha Ya Binadamu Katika Karne Hii Ya Sasa Ambayo Kila Mtu Amezamia Mitandaoni Pasi Na Kubaguliwa Kwa Umri Wote Wakubwa Kwa Wadogo.Ila Sio Wote Wanaopata Fursa Yakuwa Na Mtandao Majumbani Mwao Au Hata Kwenye Simu Zao Haswa Walala Hoi Wanaoishi Katika Mitaa Ya Mabanda.

Share This Video


Download

  
Report form
RELATED VIDEOS