Mkulima Mmoja Wa Samaki Kaunti Ya Embu Anakadiria Hasara Ya Kupoteza Zaidi Ya Samaki 300 Wachanga Akidai Kuwa Mradi Jirani Wa Unyunyizi Maji Ulizuia Maji Ya Mto Nyanjara Na Kusababisha Uhaba Uliowaangamiza Samaki Hao.Haya Yanajiri Licha Ya Serikali Ya Kau

EbruTVKENYA 2023-03-09

Views 3

Mkulima Mmoja Wa Samaki Kaunti Ya Embu Anakadiria Hasara Ya Kupoteza Zaidi Ya Samaki 300 Wachanga Akidai Kuwa Mradi Jirani Wa Unyunyizi Maji Ulizuia Maji Ya Mto Nyanjara Na Kusababisha Uhaba Uliowaangamiza Samaki Hao.Haya Yanajiri Licha Ya Serikali Ya Kaunti Hiyo Kutoa Onyo Dhidi Ya Kuzuia Mito Kwani Ukame Uliokithiri Ulikuwa Umesababisha Kupunguka Kwa Viwango Vyao

Share This Video


Download

  
Report form