Wakaazi Wa Kaunti Ya Lamu Walalamikia Kuwekwa Vizuizi Barabarani

EbruTVKENYA 2021-07-26

Views 1

Wakazi Wa Kaunti Ya Lamu Wanataka Serikali Kuu Kuondoa Vizuizi Vingi Kwenye Barabara Ya Lamu-Witu-Garsen. Kulingana Na Wakazi Hao, Vizuizi Vilivyowekwa Vinahitilafiana Na Shughli Za Usafiri Na Kusababisha Barabara Hiyo Kuonekana Si Salama Na Kuwatisha Watalii.

Share This Video


Download

  
Report form
RELATED VIDEOS