Muheria Ameitaka Wizara Ya Afya Kuwapa Waubiri Nchini Chanjo

EbruTVKENYA 2021-03-23

Views 13

Mwenyekiti Wa Baraza La Kidini Kuhusu Covid-19 Askofu Mkuu Anthony Muheria Ameitaka Wizara Ya Afya Kuwapa Wahubiri Nchini Chanjo Ya Covid-19. Muheria Ambaye Ni Askofu Wa Dayosisi Kanisa Katoliki Jimbo La Nyeri Anasema Kuwa Wahubiri Wanatangamana Na Maelfu Ya Watu Kila Jumapili Na Huenda Wakaambukizwa Virusi Vya Covid-19 Ambavyo Vimesababisha Watu Zaidi Ya Elfu Moja Kuaga Duniani.

Share This Video


Download

  
Report form