Wizara Ya Afya Sasa Yasema Kuwa Watazipa Kaunti Za Wafugaji Kipau Mbele Katika Usambazaji Wa Chanjo

EbruTVKENYA 2021-10-06

Views 40

Wizara Ya Afya Sasa Yasema Kuwa Watazipa Kaunti Za Wafugaji Kipau Mbele Katika Usambazaji Wa Chanjo Ya Aina Ya Johnson And Johnson. Mwenyekiti Wa Jopokazi La Kusimamia Chanjo Nchini, Dkt Willis Akhwale, Anasema Kuwa Kaunti Za Wafugaji Kama Vile Turkana, Garissa Lamu Na Nyenginezo Zimekumbwa Na Changamoto Kubwa Katika Utoaji Wa Chanjo Na Hivyo Basi Chanjo Ya Johnson And Johnson Itasaidia Pakubwa Ikizingatiwa Kwamba Ni Chanjo Ya Awamu Moja Pekee. Alizungumza Alipopokea Shehena Ya Pili Ya Chanjo Za Johnson And Johnson Katika Uwanja Wa Ndege Wa Jkia.

Share This Video


Download

  
Report form