Kaunti Ya Siaya Yaamuru Huduma Za Afya Zisitishwe Kwa Wataokaidi Chanjo Ya Covid-19

EbruTVKENYA 2021-12-15

Views 22

Kaunti Ya Siaya Ndiyo Kaunti Ya Kwanza Kufanikisha Amri Ya Kutotoa Huduma Kwa Wananchi Amabao Hawajachanjwa Dhidi Ya Virusi Vya Covid-19. Hili Limejiri Masaa Machache Baada Ya Mahakama Kuu Kufutilia Mbali Uamuzi Wa Wizara Ya Afya Ya Kuwa Mkenya Yeyote Ambaye Hajapokea Chanjo Ya Corona Kutopokea Huduma Za Serikali.

Share This Video


Download

  
Report form