Watu Watatu Waokolewa Katika Mgodi Wa Abimbo Katika Kaunti Ya Siaya

EbruTVKENYA 2021-12-08

Views 50

Wachimba Migodi Wawili Waliookolewa Asubuhi Ya Leo Baada Ya Siku Sita Chini Ya Ardhi Wameeleza Waliyoyapitia Katika Meno Ya Mauti. Hii Ni Baada Ya Wachimba Migodi Watatu Kuokolewa Mwendo Wa Saa 2 Asubuhi Na Kufukisha Jumla Ya Wachimbaji Waliookolewa Kuwa 6.Hata Hivyo Mmoja Ameripotiwa Kufariki Huku Shughuli Ya Kuwaokoa Wengine Ikiendelea

Share This Video


Download

  
Report form