Afueni Kwa Wanaostaafu: Serikali Yaanzisha Mpango Mpya Ya Kuwalipa Wafanyakazi Wanaostaafu

EbruTVKENYA 2023-02-09

Views 0

Wafanyikazi Wa Umaa Wanaostaafu Watapata Pesa Zao Za Uzeeni Ndani Ya Siku 90 Baada Ya Kustaafu. Malipo Hayo Ya Uzeeni Yatafutia Harakati Za Wizara Ya Fedha Kuandaa Mchakato Wa Kuwashughulika Wafanyakazi Wanaostaafu . Idara Hiyo Inapanga Shuguli Ya Kuleta Mfumo Mpya Wa Kufanya Mchakato Huo Na Wameanza Na Tume Ya Kuwaajiri Walimu Na Huduma Ya Kitaifa Ya Polisi.

Share This Video


Download

  
Report form