Magavana Wapinga Mpango Wa Serikali Kuhusu Hazina Ya Uzeeni

EbruTVKENYA 2021-09-02

Views 6

Baraza La Magavana Wakishirikiana Na Kongamano La Wawakilishi Wa Wadi Wamepuuzilia Mbali Notisi Ya Serikali Kutaka Mpango Wa Malipo Ya Uzeeni Kuwekwa Chini Ya Usimamizi Wa Serikali Kuu. Kwenye Taaarifa Kwa Vyumba Vya Habari Magavana Wanateta Kwamba Mpango Huo Wa Uzeeni Hauna Uhusiano Na Serikali Kuu.

Share This Video


Download

  
Report form