Mwalimu Azua Kioja Baada Ya Kufungwa Miaka 20 Gerezani

EbruTVKENYA 2021-10-06

Views 1

Kulizuka Kioja Katika Mahakama Ya Milimani Baada Ya Mwalaimu Mmoja Kuhukumiwa Miaka 20 Gerezani Kwa Kosa La Ubakaji.Inadaiwa Mwalimu Huyo Mwenye Umri Wa Miaka 45 Alimbaka Mwanafunzi Wake Mwaka 2016 .Na Katika Tukio Lingine Tofauti Mfanyibiashara Tom Mboya Amehukumiwa Miaka 27 Gerezani Kwa Kumpiga Risasi William Kosewe Mwaka 2016…

Share This Video


Download

  
Report form