Shule Za Kibinafsi Zalalama Kuwa Matokeo Ya KCPE Yaliwabagua Watahiniwa Wa Shule Zao

EbruTVKENYA 2021-04-28

Views 2

Walimu Kutoka Shule Za Kibinafsi Katika Kaunti Ya Kirinyaga Wanalalamika Kuwa Matokeo Ya Mtihani Wa Kcpe Yaliwabagua Watahiniwa Kutoka Shule Za Kibinafsi. Wakiongozwa Na David Kariithi, Walimu Hao Wameishtumu Wizara Ya Elimu Wakisema Mbinu Waliyotumia Kusawazisha Matokeo Iliwapendelea Zaidi Wanafunzi Wa Shule Za Umma Huku Wakisisitiza Kuwa Wanafunzi Wote Wana Haki Ya Kupata Matokeo Halisia.

Share This Video


Download

  
Report form
RELATED VIDEOS