Gavana wa Migori Okoth Obado amekamatwa na makachero huku akitarajiwa kufikishwa mahakamani Jumatatu asubuhi.
Obado ataendelea kuzuiliwa katika kituo cha polisi cha Gigiri kuhusiana na mauji ya Sharon Otieno, ambaye alikuwa ni mwanafunzi wa chuo kikuuu cha Rongo.