Gavana wa Migori kushtakiwa Jumatatu kwa mauaji ya Sharon Otieno

Most Viewed 2018-09-22

Views 2

Gavana wa Migori Okoth Obado amekamatwa na makachero huku akitarajiwa kufikishwa mahakamani Jumatatu asubuhi.
Obado ataendelea kuzuiliwa  katika kituo cha polisi cha Gigiri kuhusiana na mauji ya Sharon Otieno, ambaye alikuwa ni mwanafunzi wa chuo kikuuu cha Rongo.

Share This Video


Download

  
Report form