Waziri atokwa machozi Kifo cha Mbunge wa CHADEMA

Elegant Videos 2018-05-31

Views 14

Waziri wa mambo ya ndani nchini Mwigulu Nchemba amejikuta akitokwa na machozi wakati wa kumuaga Mbunge wa Jimbo la Buyungu, wilayani Kakonko Mkoani Kigoma (CHADEMA), Kasuku Samson Bilago aliefariki dunia Mei 26, 2017 mwaka huu

Share This Video


Download

  
Report form