Niko Tayari Kulindwa Hata Na Maafisa Wa G4s, Ruto Avunja Kimya Chake Kuhusu Ulinzi

EbruTVKENYA 2021-08-29

Views 1

Naibu Wa Rais William Ruto Amevunja Kimya Chake Siku Chache Baada Ya Serikali Kumuondolea Walinzi Wake Wa Gsu Na Badala Yake Kumuekea Walinzi Wa Maafisa Wa Utawala. Ruto Amesema Hana Wasiwasi Akisisitiza Kuwa Maafisa Wote Wa Polisi Wanauwezo Wa Kumpa Ulinzi Akiwataka Wakenya Kuachana Na Mjadala Huo.

Share This Video


Download

  
Report form