Mhandisi wa kivuko cha MV Nyerere apatikana akiwa hai

Elegant Videos 2018-09-23

Views 2

Mhandisi wa kivuko cha MV Nyerere kilichozama katika Ziwa Victoria mkoani Mwanza, Alphonce Charahani, ameokolewa akiwa hai siku mbili baada ya kivuko hicho kuzama.

Share This Video


Download

  
Report form