Viongozi Wa Kirinyaga Waandamana Baada Ya Kunyimwa Ruhusa Ya Kutumia Uwanja Wa Wang'uru

EbruTVKENYA 2022-01-28

Views 39

Wabunge Wanaoshirikiana Na Naibu Wa Rais William Ruto Wameandamana Baada Ya Kunyimwa Ruhusa Ya Kutumia Uwanja Wa Wang'uru Kaunti Ya Kirinyaga Kwa Ratba Ya Mkutano Wa Chama Cha Uda Jumamosi Hii Kwa Kile Wamekitaja Kama Kunyimwahaki Na Kutendewa Dhulma

Share This Video


Download

  
Report form