Baada ya picha kusambaa mtandaoni ikumuonyesha mtangazaji wa Clouds Media Garder G Habashi akiwa na mtoto wake Karen na kuzua gumzo, Bongo5 ilifanya jitihada na kumpata binti huyo ambaye kwasasa anafanya muziki na kueleza mazingira ambayo walipiga picha hiyo na kwanini aliamua kuipost mtandaoni.