Shilole aeleza sababu ya kumchamba Muna 'hatumtaki baba wa Patrick'

Best Video en 2018-07-21

Views 3

Msanii wa muziki, Shilole baada ya kusikia Muna amezungumza na waandishi wa habari juu ya msiba wa mtoto wake Patrick, amedai mdogo wake huyo hakupaswa kuzungumza kwa kuwa yote walishayamaliza siku ya mazishi.

Share This Video


Download

  
Report form
RELATED VIDEOS