JOTI atoa ufafanuzi NYUMBA YAKE KUBOMOLEWA

video bora 2018-05-04

Views 4

Mapema leo kumekua na taarifa zinazosambaa sana kwenye mitandao ya kijamii taarifa zinazosema nyumba ya mchekeshaji JOTI imewekewa X na itabomolewa hivi karibuni kupisha upanuzi wa barabara
JOTI ametoa ufafanuzu juu ya shwala hilo sikiliza hapa

SUBSCRIBE CHANNEL HII ILI UWE WA KWANZA KUPATA HABARI NA MATUKIO MBALIMBALI
Bofya hapa

Share This Video


Download

  
Report form