BI HINDU: KOCHA WA YANGA NI MWANAMUZIKI, ANAVAA KAMA SURUALI KAMA BOZI BOZIANA

video bora 2018-04-26

Views 1

Kuelekea mechi ya Simba na Yanga tambo zimeshaanza kwa baadhi ya mashabiki, mwanachama mkongwe wa Simba, BI HINDU amefunguka kwa kusema kuwa hata iweje lazima Yanga wafe Jumapili Aprili 29, 2018 lakini amemzungumzia kocha mpya wa Yanga, Zahera Mwinyi.

Share This Video


Download

  
Report form