Haya hapa magoli yote matano ya Simba ikiitandika Mbao FC 5-0 (26/02/2018)

video bora 2018-02-27

Views 25

Simba imeicharaza Mbao FC jumla ya mabao 5-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa leo katika dimba la Taifa Dar es Salaam.

Magoli yote a Simba katika mchezo wa leo, haya hapa, wafungaji wakiwa ni Shiza Kichuya, Emmanuel Okwi mabao mawili, Nicholas Gyan na Erasto Nyoni.

Share This Video


Download

  
Report form